Saturday, 7 May 2016

NINI UMEKIONAI  TAFAUTI NA CHA MTU WAKO NA KWA WANAUME SEMA NI KIPI UMEZIDIWA KWA NA UYU JAMAAA\
Hi! Habari za muda na wakati kama huu? Dr Kilele hapa nina mambo mawili matatu ya kuzungumza, kwa mtazamo wako Je mwanaume shujaa, wa ukweli na robo yukoje? Je ana sifa gani?
Je mwanaume wa kweli ni mwenye mipesa hatari ya kukupeleka Dubai na Manini Manini? Si unajuaaa? Yule ukitaka shanga, basi mwaenda Dubai…ukitaka kiatu…ah mamaweee ndege hii hapa twen’zetu Hongkong?
Au kwako wewe mwanaume wa ukweli ni yule alievimbiana vimbiana? Ana mwili unapingili pingili wenyewe mwaitwa Six Pack sijui..yani ile mara ya KWANZA ulipomuona na MISULI YA HAJA uliwaza nini???Ulijua YEESS,Mwanaume si ndo huyu…Ulitamani kama Umuanze kumuongelesha…Kila Ulipomtazama ULILOANA na kutamani siku 1 Mshee Kitanda ili ile MISULI ikupe adhabu…
Au mwenzetu mwanaume shujaa ni yule majaaliwa, yani ana miguu mitatu japo mmoja ni wa mtoto, sio mwanaume ana kijipu katikati ya miguu?
Andika hapa kwenye comment, Je sifa za mwanaume SHUJAA kwako ni zipi?


JOSHUA MLAY

No comments:

Post a Comment