Wednesday, 1 June 2016


   Ni siku nyingine tena Karibu kwenye blogger JOSH NEWS yangu tembelea mwanzo mpaka mwishi wa simulizii hii. Ambayo itakuwa ina toa toleo lake kila wikii siku ya ijumaa

 


                                                          Mjomba kataka tena



1.Mjomba sehemu yakwanza

Asubui na mapema mjomba kaamka kafanya majukumu ya hapa na pale  nyumbani na kuakikisha kaacha pesa ya matumizi kwa ajiliya wajomba zake wakitoka shule wapate chakula. Mjomba alijianda kwenda kwenye mizunguko yake ya kila siku ili apate kidogo cha kuendesha wajomba zake.

Mjomba ni mmiliki wa duka la vipodozi na daladala moja inayo fanya ruti zake makumbusho/tegeta kwaiyo mjomba huwa anaakikisha kila sku vitu vyake hua vinaenda sawa na kukurudi nyumbani salamaa muda maalumu wa mjomba kurudi nyumbani ni saa kumi na nusu na ndo muda ambao binti zake amao ni watoto wa dada ake huwa wanarudi nyumbani kwaiyo mjomba ukaa kijiweni kidogo ili akifika nyumbani akute chakula tayari,

Apo kijiweni mjomba anapo kaa uwa anakuta tana na vituko vingi sana ila huwa anajifanya yeye apendi story za kitoto uku akitamani ajuwe zaidi . kunakijana mmoja anaitwa ally yeye huwa anajisifia sana kuwa ana mtoto mkali sana na akuna alie nae pale kijiweni na akijinadi kuwa mtoto uwa anamambo mazuriii sana,mjomba alijitaidi sana kudadisi Ally ili apate kujuwa mambo mazuri ni yapi…………………….usikoseee SEHEMU YA PILI ya fumanizi ya mjomba..darswgs4real-tz